Post Top Ad

Post Top Ad

Thursday, July 22, 2021

11:39 PM

 Semina ya siku 30 ( Christ For All People Church- Mbeya ).


KUYASHUGHULIKIA MALANGO YA KIROHO YANAYOGUSA MFUMO WAKO WA MAISHA YA KILA SIKU.


           Day 13 ya semina.


Mwalimu Samwel Kibiriti.


Kristo Yesu asifiwe mwana wa Mungu karibu katika semina ya siku ya leo. Baada ya kumaliza kujifunza kuhusu kushughulikia lango la nafsi naamini kwamba umepokea maarifa mengi na kuombea nafsi yako, leo naomba nikupeleke katika lango lingine la kiroho unalotakiwa kuliombea.


KUSHUGHULIKIA LANGO LA UUMBAJI WAKO.

Mwanzo 1:26-27; 5:1-2


🔶 Katika ulimwengu wa roho kuna lango la uumbaji ambalo limebeba maisha yako unayoishi hapa duniani ya kila siku. Watu wengi hawana ufahamu wa kiroho kuhusu lango lao la uumbaji na hivyo kushindwa kufanya maombi kila siku kuombea malango yao ya uumbaji na hivyo kusababisha shetani na nguvu za giza kushikilia malango yao ya uumbaji na kuyatumia kuwatesa katika maisha yao na kuishi maisha magumu ya shida na taabu sana kinyume na mpango wa Mungu kuwaumba na kuwaleta hapa duniani.


KWANINI SHETANI ANAPAMBANA NA LANGO LA UUMBAJI LA MWANADAMU?.


Kuna sababu nyingi sana za kiroho zinazomfanya shetani apambane na wewe katika lango lako la uumbaji au apambane na watoto wako, wazazi wako, ndugu zako, au mke/mume wako katika lango lao la uumbaji, sasa nikiwa mwalimu wa Neno la Mungu la maarifa naomba nikuwekeee ndani ya moyo wako sababu chache hapa ili utambue uzito na umuhimu wa kuombea lango lako la uumbaji au kuombea malango ya uumbaji ya watu wanaokuhusu kila siku mbele za Mungu.


SABABU YA KWANZA:

( 1 ) Lango la uumbaji limebeba Kusudi lako la kuumbwa na Mungu.

Mwanzo 1:27 Warumi 9:11 Mithali 16:4 Matendo 13:36 Isaya 46:10


Lango lako la uumbaji ndilo limebeba kusudi lako la kuumbwa na Mungu hivyo shetani anapambana nawe katika lango lako la uumbaji ili usiweze kuishi hapa duniani ndani ya kusudi lako la kuumbwa na Mungu na mamilion ya wanadamu wengi waliopo hapa duniani hawajui kwanini Mungu aliwaumba na hivyo kushindwa kutambua kusudi lao la kuumbwa na kujikuta wanaishi maisha yaliyo nje ya kusudi la uumbaji wao.


Shetani na nguvu za giza wakifanikiwa kushikilia lango lako la uumbaji wewe utakuwa mateka wao hata kama hutaki kwasababu hawatakuruhusu uweze kuishi ndani ya kusudi lako la kuumbwa na Mungu na pia utakapojaribu kutafuta kusudi lako watakushambulia na kupambana na wewe sana. Kumbuka kuna madhara makubwa sana ya wewe kuishi nje ya kusudi lako la kuumbwa na Mungu kwasababu kusudi lako ndilo limebeba maisha yako na ule mkakati kamili wa Mungu kukuumba na kukuleta hapa duniani hivyo ukiishi nje ya kusudi lako ni mateso makubwa sana sana.


❌ Je katika lango lako la uumbaji hujabanwa na kuzuiliwa na shetani na nguvu za giza hapo ili usiweze kuishi ndani ya kusudi lako la kuumbwa na Mungu? Unahitaji msaada mkubwa wa maombi mbele za Mungu kufunguliwa kwa lango lako la uumbaji pia kufunguliwa kwa kusudi lako ili uweze kuishi ndani ya kusudi na kuyaishi maisha yako halisi ambayo Mungu amekupangia ndani ya kusudi lako la uumbaji.


SABABU YA PILI:

( 2 ) Lango la uumbaji  limebeba viwango vyangu vya maisha niliyotakiwa na Mungu niyaishi.

Zaburi 37:7  3Yohana 1:2  Zaburi 1:3  Mwanzo 26:13 Waefeso 1:3-4


Lango lako la uumbaji limebeba viwango vyako vya maisha ambayo Mungu aliyekuumba alikukusudia kuweza kuyaishi hayo maisha, na shetani akitaka kukubana usiweze kuishi maisha yako uliyopangiwa na Mungu na kufikia vile viwango vya maisha mahali anapopambana nawe kiroho ni katika lango lako la uumbaji hapo ndipo vita inapovhezwa. Ndio maana leo watu wengi sana wanaishi maisha yasiyokuwa yao pia wako chini ya viwango vya maisha yao kwasababu wamezuiliwa hapo kwenye lango la uumbaji wasiweze kuyaishi maisha yao kwenye viwango vya Mungu aliyewaumba.


❌ Je wewe katika maisha yako hujazuiliwa kwenye lango lako la uumbaji usiweze kuishi katika viwango vya Mungu alivyokupangia kimaisha? Unahitajika kupata msaada zaidi wa kiroho kwenye hilo lango hakikisha unafanya maombi ya kuombea lango lako la uumbaji na kuyafungua maisha yako hapo kwa damu ya Yesu Kristo.


SABABU YA TATU:

( 3 ) Lango la uumbaji limebeba aina ya kazi ninayotakiwa kuifanya katika maisha yangu hapa duniani.

Zaburi 33:13-15; 104:23


🔵 Katika maisha yako hapa duniani Mungu hajakuleta ufanye kila aina ya kazi unayoiona au inayofanywa na watu wanaokuzunguka nataka ujitambue kwamba Mungu kila mtu aliyemuumba na kumleta hapa duniani kuna kazi maalum ambayo amemuandalia na kumkusudia kila mtu kuifanya kwaajili ufalme wake hapa duniani. Lakini mamilion ya wanadamu hata wewe wako nje ya kazi maalum ya uumbaji wao wanazofanya hapa duniani wengi hufanya kazi ambazo sio zile zilizomfanya Mungu amewaumba na kuwaleta hapa duniani wazifanye kila siku.


Lango lako la uumbaji linaposhikiliwa na shetani kiroho kati ya jambo lingine atakalokufanyia ni kuhakikisha kwamba kwenye maisha yako hapa duniani huishi kwa kuifanya kazi ile iliyokutoa mbinguni kwa Mungu bali atakuacha ufanye kazi nje ya kusudi lako la uumbaji pia atapambana nawe usitambue kabisa kazi uliyotumwa na Mungu kuifanya hapa duniani. Pamoja na kazi mbalimbali unazofanya nataka ujitambue kwamba kuna kazi maalum ambayo Mungu anakutaka hiyo uifanye kwa nguvu zako na muda wako mwingi kwasababu ndio iliyokufanya umeletwa hapa duniani na Mungu.


❌ Je wewe kazi unayoifanya hapa duniani ndio kazi maalum ambayo Mungu amekuleta uifanye kwenye maisha yako? Unahitajika kupata msaada wa kiroho mbele za Mungu kumuomba ili akusemeshe na kukuonyesha kazi aliyokutuma hapa duniani uweze kuifanya. Pia kuna watu wamefungwa katika lango la uumbaji ili wasifanye kazi ile iliyowaleta hapa duniani, hakikisha unaomba mbele za Mungu.


SABABU YA NNE:

( 4 ) Lango la uumbaji limebeba Mamlaka unayotakiwa kutembea nayo katika maisha yako hapa duniani.

Mathayo 28:18 Danieli 7:12


Lango lako la uumbaji pia limebeba mamlaka ya maisha yako unayotakiwa kutembea nayo hapa duniani katika ule wito wa Mungu aliokuleta hapa duniani ili uweze kuutumikia kwasababu kuna mazingira mengi hapa duniani naya kiroho ambayo yatapambana nawe na kukuzuia usiweze kutimiza wito wako ndio maana Mungu alipokuumba akakubebesha mamlaka yako maalum.


Lakini watu wengi wamepokonywa mamlaka zao au wengine wamefungwa wasiweze kutumia mamlaka zao na mambo hayo yamefanyika kwenye lango lao la uumbaji. Hivyo unatakiwa kuingia kwenye maombi na kumuomba Mungu katika lango lako la uumbaji na kumuomba Mungu akurejeshee mamlaka yako ya uumbaji kwaajili ya maisha yako hapa duniani.


➡️ Kwa leo tunaishia hapa kwenye semina yetu, nakuomba fanyia kazi somo la leo na kuingia kwenye maombi. Katika kitabu changu cha MAOMBI YA KUWEKA WAKFU KWA MUNGU MALANGO YA KIROHO YANAYOGUSA MAISHA YAKO nimeeleza lango la kazi za mikono ambapo nilifundisha madhara ya kufanya kazi ambayo sio Mungu amekutuma kuifanya hapa duniani. Pia kwenye kitabu changu cha VITU VILIVYOBEBWA NDANI YA KUSUDI LAKO LA KUUMBWA NA MUNGU nimeeleza kuhusu mambo mengi yaliyomo ndani ya kusudi lako la kuumbwa na Mungu, hakikisha kwamba unapata Nakala yako ya vitabu hivi na vitabu vingine nilivyokwisha kuandika ambavyo vimebeba Maarifa makubwa ya Mungu ya Neno la Mungu.


Kwa mawasiliano nami na kutoa sadaka zako kwenye madhabahu ya Mungu tumia namba hizi:

Vodacom M-pesa +255 765 867574 ( WhatsApp ).

Airtel Money +255 785 855785

Tigo Pesa +255 673 784197

Kwa Email address ni Pastorkibiriti@gmail.com



Mimi ni Mwalimu wa Neno la Mungu la Maarifa


            Samwel Kibiriti.

Mei 27, 2021

@Kibiriti2021


Maisha yako hapa duniani yatakuwa ya faida kubwa sana kama utamwamini na kumtegemea Mungu katika kila jambo unalofanya kwenye maisha yako.

Wednesday, July 21, 2021

1:22 PM

 30-day seminar (Christ For All People Church- Mbeya).

DEALING WITH SPIRITUAL GATES THAT AFFECT YOUR DAILY LIFE SYSTEM.

          Day 12 of the seminar.

By Master Samuel Kibiriti.

Praise Jesus Christ sons of God soon in today's seminar, we continue with the gate of the Soul let's go together today again.

DEALING WITH YOUR OWN GATE ( C ) .

After I finished teaching you about the Cause of War in your soul and yesterday I taught you about Why is your soul being attacked in the realm of the mind? I believe you have gained knowledge there and I ask you today to see another area about your Soul that you need to address.

BREAKING THE TRAPS THAT CATCH YOURSELF AND YOUR SOULS:

Proverbs 18: 7 Exodus 34:12 Psalm 124: 7 Jeremiah 50:24 2 Timothy 2:26

Today in the seminar I need to talk to you about the traps that caught your soul and the souls of your children, your parents and siblings, I want you to understand that there are spiritual traps that can catch human souls and so many souls fail to work as God created them because they are held on traps and many have not broken those traps and opened their souls.

YOUR SOUL MAY BE CATCHED BY THE FOLLOWING TRAPS :

Let me show you some traps that may have caught your soul or your souls to make sure you enter into a spiritual prayer to break those traps in the soul and open them so that they can be free and ask God for your soul to return to its original function as created by God.


FIRST TRAP:

( 1 ) My soul may be caught in the snare of the oath ( s ) .

Numbers 30: 2,9

🔵 This is a trap that has taken the souls of many people spiritually and caused them to be in bondage and suffering. Oaths that you have made in life or or that have taken place in the life of your family and descendants if you have not dealt with them and broken them are that they have taken your soul and bound it, because the Bible says an oath binds the soul. And many people every day enter into vows of words and blood and sacrifices without knowing the consequences but injecting themselves into the suffering that is evident in their daily lives.

❌Is not your soul bound by oaths? Are not the souls of your children bound by oaths? Are the souls of your parents and your wife or your husband or your brothers not bound by oaths? Make sure you get the spiritual help to open your soul to all the oaths that have bound your soul or soul whether it be verbal vows or oaths involving blood or sacrifice prayers are needed to help the soul and open it to live your good life.


SECOND TRAP:

( 2 ) My soul is caught in the snare of the words of my mouth.

Proverbs 6: 2; 16:26; 13: 3

🔴 The words of your mouth that you speak every day or that you have spoken may have trapped your soul in that trap of words and many of their souls are trapped here because there are words they speak thoughtlessly that lead their souls into a spiritual trap. The Bible says you are bound by the words of your mouth, what kind of words did you speak and were used to bind your soul?

You need to enter into a prayer to free yourself from the snare of words you have caught and to bind your soul, make sure you repent before God about all the evil words you have uttered in your life and then erase them from the spirit world and then open your soul to those words, and start saying good words and saying good things to your children. Even if you are going through a difficult time in your life, be very careful about the words you speak because they are powerful in your soul or in the soul of the person to whom you are speaking.


THIRD TRAP:

( 3 ) My soul may be caught in the snare of hell .

Psalm 16:10 Job 38:17 Psalm 30: 3; 49:15 Proverbs 27:20 Psalm 33:19

There are souls of people who live on this earth but spiritually they are trapped in the snare of hell and are heavily enslaved by the spirits of hell every day and those people have failed from those traps of hell and the hands of hell so they find their lives have been suffering daily due to things happening the secret to their souls. When the Bible says to deliver my soul from the hands of hell it means that it is clear that you can see a person with you but spiritually his soul is trapped in hell and many things go on while he is asleep in his dreams.

❌Are not your soul and your soul caught in the snares of hell and bound? Make sure you make a prayer to open your soul and your souls and deliver them from the hands of hell that hold them.


FOURTH TRAP:

( 4 ) My soul may fall into the trap of the altars of the gods .

Judges 6: 11-15, 25-26

The souls of the people were trapped in the snares of other gods such as Gideon's soul and the family and the whole city were confined to the altar of Baal that his father had until God instructed him to demolish the altar and then their souls were released. There are people whose souls are bound by sorcerers and superstitions at the altars of the gods, and others whose altars are within their Families and clans and their tribes and lands are responsible for binding and holding their souls.

❌Are not your soul or your soul caught in the snare of the altars of foreign gods? You need to get help to open and open your souls to the altars of the gods and break the bonds of those altars to your souls and then connect your soul with the altar of God in Jesus Christ.


FIFTH TRAP:

( 5 ) My soul may fall into the trap of the covenants of the gods .

 Exodus 20: 3: 32: 1-7; 23:32

The covenants of the gods have been used extensively to capture and imprison the souls of many people whom you see living on earth without their knowledge and understanding. There are people who live a difficult life and struggle every day because their souls are bound to the covenants of the gods and those covenants they have not broken in their souls have continued to cling to and seize their souls. If you come from a family with descendants who have entered into covenants with the gods your soul may be trapped there and you need help to be released but also those who go or go to traditional healers their souls are trapped there even if they repented of that sin.

You are required to enter into a prayer to open your soul and the souls of your children and your parents and your siblings and your spouse and husband bound in various covenants of foreign gods.


SIXTH TRAP:

( 6 ) My soul may fall into the trap of adultery .

Proverbs 6: 26,32-33 1Cor 6: 16-18

This trap of adultery and fornication has gripped the souls of millions of people around the world as many people engage in adultery and fornication every day while they comfort themselves that it is a feast for their bodies without realizing that adultery is binding the souls of those who engage in it. People themselves are trapped in that trap and today they have become slaves to adultery and fornication in their lives and find themselves living a life of suffering and remorse because of the adultery and fornication they have committed and are committing.

❌Are you not enslaved to the snare of adultery and fornication? Are not the souls of your children and your spouse and your siblings and parents not trapped in this trap of adultery and fornication? Stop the things of adultery and fornication because you have so many spiritual dangers in your life and one of the consequences is that you are destroying your soul and remember that the soul is the one that carries life and success also the thirst for seeking God etc.

Make sure you seek the help of God's servants in freeing yourself from the snare of adultery and fornication if you want to live your God-ordained life but also if you want to live a life of peace and prosperity.

🔶 I have shown you some of the traps that are spiritually involved in capturing the souls of so many human beings living on this earth, what trap have you caught yourself or the souls of your children or siblings? You have a great responsibility to go before God in prayer to pray for your soul and your soul that you may receive God's help to be set free and set free.

✔️ Today our seminar ends here make sure you work on this lesson until tomorrow when we meet again in another seminar. I beg you to help me share this lesson with other people and other groups so that God will also serve them and set them free in their lives.


Tomorrow I will show you another spiritual gateway to address your prayers for your life.

Contact me at the following numbers:

Vodacom +255 765 867574 (WhatsApp).

Airtel +255 785 855785.

Tigo +255 673 784197.

By Email address is Pastorkibiriti@gmail.com



I am a Teacher of God's Word of Knowledge

          Samuel Kibiriti .

May 26, 2021

@ Kibiriti2021

Let me remind you that we are living in the last days and that Jesus Christ is coming back to take over the church. Make sure you are saved by receiving the Lord Jesus and living a life pleasing to God who created you every day on earth.

11:48 AM

 Semina ya siku 30 ( Christ For All People Church- Mbeya ).

KUYASHUGHULIKIA MALANGO YA KIROHO YANAYOGUSA MFUMO WAKO WA MAISHA YA KILA SIKU.

          Day 12 ya semina.

Na Mwalimu Samwel Kibiriti.

Asifiwe Yesu Kristo wana wa Mungu karibuni katika semina ya siku ya leo, tunaendelea na lango la Nafsi hebu twende pamoja na leo tena.

KUSHUGHULIKIA LANGO LA NAFSI YAKO ( C ).

Baada ya kumaliza kukufundisha kuhusu Sababu ya vita katika nafsi yako na jana nikakufundisha kuhusu Kwanini nafsi yako inashambuliwa kwenye eneo la akili? Naamini umepata maarifa hapo naomba leo tuone eneo lingine kuhusu Nafsi yako unalotakiwa kulishughulikia.

KUVUNJA MITEGO ILIYOKAMATA NAFSI YAKO NA NAFSI ZENU:

Mithali 18:7 Kutoka 34:12 Zaburi 124:7 Yeremia 50:24  2Timotheo 2:26

Leo katika semina nahitaji kusema nawe kuhusiana na mitego iliyokamata nafsi yako na nafsi za watoto wako, wazazi wako na ndugu zako, nataka ufahamu kwamba kuna mitego ya kiroho ambayo inaweza kukamata nafsi za wanadamu na wengi sana nafsi zao zinashindwa kufanya kazi kama Mungu alivyoziumba kwasababu zimeshikiliwa kwenye mitego na wengi hawajaivunja hiyo mitego na kuzifungua nafsi zao.

NAFSI YAKO INAWEZA KUWA IMEKAMATWA NA MITEGO IFUATAYO:

Ngoja nikuonyeshe baadhi ya mitego ambayo inaweza kuwa imeikamata nafsi yako au nafsi zenu ili uhakikishe unaingia kwenye maombi rohoni kuivunja hiyo mitego kwenye nafsi na kuifungua ili iweze kuwa huru na kumuomba Mungu Nafsi yako irudi katika utendaji kazi wake kama ilivyoumbwa na Mungu.


MTEGO WA KWANZA:

( 1 ) Nafsi yangu inaweza kukamatwa na mtego wa kiapo/viapo.

Hesabu 30:2,9

🔵 Huu ni mtego ambao umezikamata nafsi za watu wengi kiroho na kusababisha hizo nafsi ziwe katika vifungo na mateso. Viapo ambavyo wewe umevifanya katika maisha au au vilivyofanyika katika maisha ya familia na uzao wenu kama hujavishughulikia na kuvivunja ni kwamba vimekamata nafsi yako na kuifunga, kwasababu Biblia inasema kiapo kinafunga nafsi. Na watu wengi kila siku wanaingia kwenye viapo vya maneno na damu na sadaka bila kujua madhara yake kumbe wanaziingiza nafsi zao kwenye mateso ambayo huonekana katika maisha yao ya kila siku.

❌Je nafsi yako haijakamatwa na viapo? Je nafsi za watoto wako hazijafungwa na viapo? Je nafsi za wazazi wako na mke wako au mume wako au ndugu zako hazijafungwa na viapo? Hakikisha unapata msaada wa kiroho wa kufunguliwa nafsi yako katika viapo vyote vilivyofunga nafsi yako au nafsi zenu iwe viapo vya maneno au viapo vilivyohusisha damu au sadaka maombi yanahitajika kuisaidia nafsi na kuifungua ili uishi maisha yako mazuri.


MTEGO WA PILI:

( 2 ) Nafsi yangu inaweza kukamatwa na mtego wa maneno ya kinywa changu niliyoyatamka.

Mithali 6:2; 16:26; 13:3

🔴 Maneno ya kinywa chako unayoyaongea kila siku au uliyoyaongea yanaweza kuwa yameifunga nafsi yako katika mtego huo wa maneno na wengi nafsi zao zimekamatwa hapa kwasababu kuna maneno wanayoongea bila kufikiri ambayo huwapelekea nafsi zao kuingia kwenye mtego wa kiroho. Biblia inasema umekamatwa kwa maneno ya kinywa chako, je ni maneno ya aina gani ambayo uliyazungumza na yakatumiwa kuifunga nafsi yako?

Unahitajika kuingia kwenye maombi ya kuifungua nafsi yako kwenye mtego wa maneno ulioikamata na kuifunga nafsi yako, hakikisha kwamba unatubu mbele za Mungu kuhusu maneno yote mabaya uliyojitamkia kwenye maisha yako kisha yafute kwenye ulimwengu wa roho na baada ya hapo ifungue nafsi yako kwenye hayo maneno, na uanze kujitamkia maneno mazuri na kuwatamkia maneno mazuri watoto wako. Hata kama unapitia wakati mgumu wa maisha yako chunga sana maneno unauoongea kwasababu yanakuwa na nguvu katika nafsi yako au katika nafsi ya huyo mtu unayemtamkia maneno hayo.


MTEGO WA TATU:

( 3 ) Nafsi yangu inaweza kukamatwa na mtego wa kuzimu.

Zaburi 16:10 Ayubu 38:17  Zaburi 30:3; 49:15 Mithali 27:20 Zaburi 33:19

Ziko nafsi za watu wanaoishi hapa duniani lakini kiroho zimekamatwa katika mtego wa kuzimu na zinatumikishwa sana na roho za kuzimu kila siku na watu hao wameshindwa kutoka kwenye hiyo mitego ya kuzimu na mikono ya kuzimu hivyo kukuta maisha yao yamekuwa ya mateso kila siku kutokana na mambo yanayofanyika sirini kwenye nafsi zao. Biblia inaposema uitoe nafsi yangu mikononi kwa kuzimu maana yake ni uwazi kwamba unaweza kumuona mtu uko nae kumbe kiroho nafsi yake imeshikiliwa huko kuzimu na mambo mengi huendelea akiwa amelala kwenye ndoto anazoziota.

❌Je nafsi yako na nafsi zenu hazijashikiliwa kwenye mitego ya kuzimu na kuzifunga? Hakikisha kwamba unafanya maombi ya kuifungua nafsi yako na nafsi zenu na kuzitoa kwenye mikono ya kuzimu iliyozishikilia.


MTEGO WA NNE:

( 4 ) Nafsi yangu inaweza kukamatwa na mtego wa madhabahu za miungu.

Waamuzi 6:11-15, 25-26

Ziko nafsi za watu zimeshikiliwa katika mtego wa miungu mingine kama vile nafsi ya Gideon na familia na mji mzima zilikuwa zimefungwa kwenye ile madhabahu ya baali aliyokuwa nayo baba yake hadi Mungu alipompatia maelekezo kwamba akibomoe hiyo madhabahu ndipo nafsi zao zikafunguliwa. Kuna watu ambao nafsi zenu zimeshafungwa na wachawi na kishirikina katika madhabahu za miungu, na wengine zile madhabahu zilizomo ndani ya Familia zao na ukoo na makabila yao na nchi zao zimehusika kuzifunga na kuzishikilia nafsi zao.

❌Je nafsi yako au nafsi zenu hazijakamatwa na mtego wa madhabahu za miungu migeni? Unahitajika kupata msaada wa kuifungua na kuzifungua nafsi zenu kwenye hizo madhabahu za miungu na kuvunja vifungo vya hizo madhabahu kwenye nafsi zenu kisha kuiunganisha nafsi yako na madhabahu ya Mungu katika Yesu Kristo.


MTEGO WA TANO:

( 5 ) Nafsi yangu inaweza kukamatwa na mtego wa maagano ya miungu.

 Kutoka 20:3: 32:1-7; 23:32

Maagano ya miungu yametumika sana kiroho kuzikamata na kuzifunga nafsi za wanadamu wengi unaowaona wanaishi duniani pasipo wao kujua na kutambua. Kuna watu wanaishi maisha magumu naya kuhangaika kila siku kwasababu nafsi zao zimefungwa kwenye maagano ya miungu na hayo maagano hawajayavunja kwenye nafsi zao yameendelea kuzishikilia na kuzikamata nafsi zao. Kama umetokea kwenye familia na uzao ulioingia maagano na miungu nafsi yako inaweza kuwa imeshikiliwa hapo na unahitaji msaada wa kufunguliwa lakini pia wale wanaoenda au walioenda kwa waganga wa kienyeji nafsi zao zimefungwa huko hata kama walitubia hiyo dhambi.

Unahitajika kuingia kwenye maombi ya kuifungua nafsi yako na nafsi za watoto wako na wazazi wako na ndugu zako na mke na mume wako zilizofungwa katika maagano mbalimbali ya miungu migeni.


MTEGO WA SITA:

( 6 ) Nafsi yangu inaweza kukamatwa na mtego wa uzinzi/uasherati.

Mithali 6:26,32-33 1Kor 6:16-18

Huu mtego wa uzinzi na uasherati umezikamata nafsi za mamilion ya wanadamu duniani kutokana na wanadamu wengi kushiriki kwenye uzinzi na uasherati kila siku huku wao wakijifariji kwamba ni sharehe ya miili yao bila kutambua kwamba uzinzi/uasherati unafunga nafsi ya hao watu wanaoshiriki katika hizo ngono. Watu nafsi zao zimefungwa kwenye huo mtego na leo wamekuwa watumwa wa uzinzi na uasherati kwenye maisha yao na kujikuta wanaishi maisha ya mateso na majuto kwasababu ya uzinzi na uasherati waliofanya na wanaoufanya.

❌Je wewe nafsi yako haijafungwa katika mtego wa uzinzi na uasherati? Je nafsi za watoto wako na mke au mume wako na ndugu zako na wazazi wako hazijafungwa kwenye huu mtego wa uzinzi na uasherati? Achana na mambo ya uzinzi na uasherati kwasababu uko na madhara mengi sana kiroho katika maisha yako na moja ya madhara ni kwamba unaiharibu nafsi yako na kumbuka kuwa nafsi ndio iliyobeba maisha na mafanikio pia imebeba kiu ya kumtafuta Mungu n.k

Hakikisha unatafuta msaada kwa watumishi wa Mungu katika kufunguliwa kwa nafsi yako kwenye mtego wa uzinzi na uasherati kama unataka kuishi maisha yako uliyokusudiwa na Mungu lakini pia kama unataka kuishi maisha ya Amani na mafanikio.

🔶 Nimekuonyesha baadhi ya mitego hiyo ambayo kiroho imehusika kuzikamata nafsi za wanadamu wengi sana wanaoishi hapa duniani, je wewe ni mtego upi umeikamata nafsi yako au nafsi za watoto wako au ndugu zako? Unalojukumu kubwa la kwenda mbele za Mungu kwa maombi kuiombea nafsi yako na nafsi zenu ili upate msaada wake Mungu wa kufunguliwa na kuwekwa huru.

✔️ Leo semina yetu inaishia hapa hakikisha kwamba unalifanyia kazi somo hili mpaka siku ya kesho tutakapokutana tena katika semina nyingine. Nakuomba sana unisaidie kuwashirikisha watu wengine na magroup mengine somo hili ili Mungu pia awahudumie na kuwafungua kwenye maiaha yao.

Kesho nitakuonyesha lango lingine la kiroho la kushughulikia kweye maombi yako kwaajili ya maisha yako.

Kwa mawasiliano nami utanipata kwa namba hizi:

Vodacom +255 765 867574 ( WhatsApp ).

Airtel +255 785 855785.

Tigo +255 673 784197.

Kwa Email address ni Pastorkibiriti@gmail.com



Mimi ni Mwalimu wa Neno la Mungu la Maarifa

          Samwel Kibiriti.

Mei 26, 2021

@Kibiriti2021

Nikukumbushe kwamba tunaishi nyakati za mwisho na Yesu Kristo anarudi kulichukua kanisa hakikisha kwamba umeokoka kwa kumpokea Bwana Yesu na uishi maisha yanayompendezesha Mungu aliyekuumba kila siku hapa duniani.

Wednesday, June 23, 2021

2:41 AM

 30-day seminar ( Christ For All People Church- Mbeya ).

DEALING WITH SPIRITUAL GATES THAT AFFECT YOUR DAILY LIFE SYSTEM .

           Day 11 of the seminar.

Senior Pastor Samwel Kibiriti.

Praise the Lord Jesus Christ son of God I would like to welcome you to today's seminar, where we continue to learn about the gate of your soul.

DEALING WITH YOUR OWN GATE ( B ) .

Psalm 25:20 Exodus 32: 7 Deuteronomy 4:16 Numbers 11:18 Psalm 7: 5 Numbers 31:50

In yesterday's Seminar I taught you about the Cause of the War in Your Soul where I showed you the six biblical reasons I believe you have been praying for your soul, today I ask that we move forward a little and teach you this;

WHY IS YOUR SOUL ATTACKED IN THE MENTAL AREA? .

People's souls are attacked in the realm of the mind which is why there are so many people whose minds are damaged and unable to function as God created them in their lives, here I want to show you several spiritual reasons so you can pray more for yourself and your mind every day.


   FIRST THING :

( 1 ) Your mind is being attacked so that you cannot use it properly as God intended

1 Corinthians 15:34

God has given you intelligence so that you can use it properly but most people do not use their minds properly because they have been attacked or imprisoned spiritually, so God wants you to be able to use your mind as He intended to use it according to His purpose to keep your mind in you. So the devil is attacking your mind so that you will not be able to use it properly and if you do not use it properly there are things you will miss in your life, Be a person to remember to pray for your mind because it is very valuable in your daily life here on earth.


SECOND THING :

( 2 ) Your mind is being attacked to examine what is being carried into those minds

Isaiah 40:28

In the spirit world there are demons that search the minds of men to close the things that God has burdened the mind of man and what he is supposed to do. The mind of God does not explore what I want you to see in the spirit world. They can attack your mind to examine it and hold on to it, so make sure you pray for your mind and cover it with the blood of Jesus so that it can be examined and give what God has entrusted to you.

There are people today living a life of poverty and hardship that is very different from God's plan because their minds are spiritually closed even though God has set their minds on themselves carrying a great treasure of precious things for their lives.


THIRD THING :

( 3 ) Your brain is being attacked for easy access .

Galatians 3: 1-3

There are so many people whose minds are bewitched spiritually that is why there are so many wonderful things they are doing in their lives that people say "this one really has his mind why did he do this?" he has a mind but unfortunately he failed to protect them and the witches have succeeded in enchanting them which is why he does what he does. You see these Galatians that the Apostle Paul was talking about here started very well in the Spirit but suddenly when their minds were attacked and bewitched they found themselves gradually leaving Jesus Christ and beginning to follow the works of the flesh. 

When a person's mind is attacked and bewitched he must change his mind and start going against what he was originally going to do when his mind was not bewitched, and there are actions he did not initially do that will not be God's will.


FOURTH THING :

( 4 ) Your mind is being attacked so that you cannot use it in all aspects of your life

2 Timothy 2: 7

God has given you intelligence so that you can use it in all the things you do in your life, but there are people who in certain areas of their lives do not use their minds to do those things and as a result find themselves at odds with each other. It is God's intention for you to use your intellect in all things but in the spirit world when your mind is attacked you will find yourself unable to use it in all things, and in those things that you will not use your mind you will find 


FIFTH FACTOR :

( 5 ) Your brain is being attacked for not having the ability to invent and invent new things

Exodus 35: 30-35

🔴 God has put a wonderful invention in the human mind and He wants us humans to use our minds to discover things and design things that He intended for us but not in the lives of many people that ability no longer works in our minds. You see how these Bezalel and Oholiab used their minds to invent things and do the things that God put in their minds. In your mind God has put so many precious things and inventions and knowledge of all kinds. To what extent have you used your mind to do so? 


SIXTH THING :

( 6 ) Your mind is being attacked so you can't use it as a leader .

Deuteronomy 1: 13-15 1 Kings 5: 7

🔵 There are people who have been given leadership in them but their minds because they have been attacked find themselves not doing well in their leadership positions because they fail to connect their minds with their leadership positions. So you need to make good use of your mind as a leader where God has placed you and give you the opportunity to lead others so that they do not blame your leadership. The wife is also the leader and the husband is the leader in their family so if one's mind is closed you will see him fail to fulfill his role as the head of the family and cause conflicts and problems within his family.


SEVENTH THING :

( 7 ) Your mind is being attacked so you can't use it to save your future life .  

Proverbs 30:24

🔵 God has given us intelligence and wants us to use our minds to save for our future life in the way He allows us to get it so that we can not use it all but the mind will guide us to save part of tomorrow's savings. You need to use your mental faculties to save a little for your future and the lives of your children, not to eat everything you earn without saving a little. 

🔶 Have I shown you these few things to see why your mind is being attacked spiritually through your soul? So make sure you go into prayer to pray for your soul and mind as well as for your children, your parents, your siblings, your wife & husband in the areas of their mind within the soul so that their minds can be free then they will use them properly in their daily lives. here on earth.

✔️ Today our seminar ends here so we can meet tomorrow, and I ask you to help me share these lessons with others so that they can receive God's help through this seminar for their lives.

By contacting me you will find me at these numbers, also use them to offer your offerings to God for this seminar.

Vodacom M-PESA +255 765 867574 (WhatsApp).

Airtel Money +255 785 855785

Tigo Pesa +255 673 784197

By Email address is Pastorkibiriti@gmail.com



I am a Teacher of God's Word of Knowledge

             Samuel Kibiriti.

May 25, 2021

Mbeya Tanzania.

@ Kibiriti2021

Remember the Lord Jesus Christ is coming back to make sure you have prepared your life by being saved and living a holy life here on earth as you continue to do God's will every day.

2:02 AM

 Semina ya siku 30 ( Christ For All People Church- Mbeya ).

KUYASHUGHULIKIA MALANGO YA KIROHO YANAYOGUSA MFUMO WAKO WA MAISHA YA KILA SIKU.

           Day 11 ya semina.

Senior Pastor Samwel Kibiriti.

Bwana Yesu Kristo asifiwe mwana wa Mungu napenda kukukaribisha katika semina ya leo, ambapo tunaendelea kujifunza kuhusu lango la Nafsi yako.

KUSHUGHULIKIA LANGO LA NAFSI YAKO ( B ).

Zaburi 25:20 Kutoka 32:7 Kumbukumbu 4:16 Hesabu 11:18 Zaburi 7:5 Hesabu 31:50

Katika Semina ya siku ya jana nilikufundisha kuhusu Sababu ya vita katika Nafsi yako ambapo nilikuonyesha sababu sababu sita za Kibiblia naamini umekuwa na maombi kuombea nafsi yako, leo naomba tusogee mbele kidogo nikufundishe jambo hili;

KWANINI NAFSI YAKO INASHAMBULIWA KWENYE ENEO LA AKILI?.

Nafsi za watu zinashambuliwa katika eneo la akili ndio maana kuna watu wengi akili zao zimepata madhara na kushindwa kufanya kazi kama Mungu alivyoziumba kwenye maisha yao, hapa nataka nikuonyeshe sababu kadhaa za kiroho ili uwe na umuhimu zaidi wa kuiombea nafsi yako na akili zako kila siku.


   JAMBO LA KWANZA:

( 1 )  Akili zako zinashambuliwa ili usiweze kuzitumia ipasavyo kama Mungu alivyotaka

1Wakorintho 15:34

Mungu amekupatia akili ili wewe uzitumie  kama ipasavyo lakini watu wengi hawatumii akili zao kama ipasavyo kwasababu zimeshambuliwa au kufungwa rohoni, kwahiyo Mungu anakutaka uweze kutumia akili zako kama ipasavyo maana yake kama alivyokusudia uzitumie sawa na kusudi lake la kukuwekea akili ndani yako. Kwahiyo shetani anashambulia akili zako ili ushindwe kuzitumia kama ipasavyo na usipozitumia kama ipasavyo kuna vitu utakosa kwenye maisha yako, Uwe mtu wa kukumbuka kuziombea akili zako kwasababu niza thamani sana katika maisha yako ya kila siku hapa duniani.


JAMBO LA PILI:

( 2 ) Akili zako zinashambuliwa ili kuchunguzwa vile vilivyobebwa ndani ya hizo akili

Isaya 40:28

Kwenye ulimwengu wa roho kuna mashetani ambayo huzichunguza akili za wanadamu ili kufunga vile vitu ambavyo Mungu kaibebesha hiyo akili ya mtu na kile anachotakiwa kufanya. Akili za Mungu hazichunguziki ninachotaka uone kwenye ulimwengu wa roho wanaweza kuzishambulia akili zako ili wazichunguze ndani yake na kuzishikilia, kwahiyo hakikisha kwamba unaombea akili zako na kuzifunika kwa damu ya Yesu ili zisichunguzwe na ziweze kutoa vile ilivyobebeshwa kwako na Mungu kwaajili ya maisha yako.

Kuna watu leo wanaishi maisha ya umasikini na magumu sana tofauti na mpango wa Mungu kwasababu akili zao zimefungwa kiroho ingawa Mungu alipowawekea akili zao kwenye nafsi akizibebesha hazina kubwa ya vitu vya thamani kwaajili ya maisha yao.


JAMBO LA TATU:

( 3 ) Akili zako zinashambuliwa ili wapate urahisi wa kuziloga.

Wagalatia 3:1-3

Wako watu wengi sana ambao akili zao zimelogwa rohoni ndio maana kuna vitu vya ajabu wanafanya kwenye maisha yao mpaka watu husema “ huyu kweli anazo akili zake kweli kwanini amefanya hivi?” akili anazo lakini bahati mbaya ni kwamba alishindwa kuzilinda na wachawi wamefanikiwa kuziloga ndio maana anafanya hayo anayoyafanya. Unawaona hawa Wagalatia ambao Mtume Paulo alikuwa anazungumza nao hapa walianza vizuri sana katika Roho lakini ghafula akili zao ziliposhambuliwa na kulogwa wakajikuta wanamuacha taratibu Yesu Kristo na kuanza kufuata matendo ya mwili. 

Akili za mtu zinaposhambuliwa na kulogwa lazima atabadilisha mwelekeo wake ataanza kwenda kinyume na alivyokuwa anaenda mwanzoni wakati akili zake hazijalogwa, na kuna matendo ambayo mwanzoni alikuwa hayafanyi ataanza kuyafanya yasiyokuwa mapenzi ya Mungu Kwahiyo atahitaji msaada kwa akili zake kufunguliwa na kukombolewa kwa jina la Yesu Kristo.


JAMBO LA NNE:

( 4 ) Akili zako zinashambuliwa ili usiweze kuzitumia katika mambo yote ya maisha yako

2Timotheo 2:7

Mungu amekupatia akili ili uweze kuzitumia katika mambo yako yote unayofanya kwenye maisha yako, lakini kunao watu ambao kwenye maeneo Fulani ya maisha yao hawatumii akili zao kufanya hayo mambo na matokeo yake hujikuta wanakosana na wenzao. Ni kusudi la Mungu kwamba utumie akili katika mambo yote lakini kwenye ulimwengu wa roho akili zako zinaposhambuliwa utajikuta huwezi kuzitumia katika mambo yote, na katika yale mambo ambayo hutatumia akili yako utajikuta unakosana na wenzako wale ambao wametumia akili zao kwenye hilo jambo. 


JAMBO LA TANO:

( 5 ) Akili zako zinashambuliwa ili zisiwe na Uwezo wa kuvumbua na kubuni  vitu vipya

Kutoka 35:30-35

🔴 Mungu ameweka uvumbuzi wa ajabu sana kwenye akili za  mwanadamu  na anatamani sisi wanadamu tuzitumie akili zetu kuvumbua vitu na kubuni  vitu alivyotukusudia lakini sivyo ilivyo kwenye maisha ya watu wengi huo  uwezo haufanyi  kazi tena kwenye akili zetu. Unaona jinsi hawa akina  Bezaleli na Oholiabu walivyotumia akili zao kuvumbua vitu na kufanya vile vitu ambavyo Mungu aliviweka kwenye akili zao. Katika akili  yako Mungu  ameweka vitu vya thamani sana na Uvumbuzi na  ujuzi wa  aina  mbalimbali je kiwango gani umeitumia akili yako ikafanya hivyo? 


JAMBO LA SITA:

( 6 ) Akili zako zinashambuliwa ili usiweze kuzitumia kama kiongozi.

Kumbukumbu 1:13-15  1Waflme 5:7

🔵 Kuna watu ambao wamewekewa uongozi ndani yao lakini akili zao kwasababu zimeshambuliwa wanajikuta hawafanyi vizuri kwenye nafasi zao za uongozi kwa sababu wanashindwa kuunganisha akili zao na nafasi zao za uongozi. Kwahiyo unatakiwa uzitumie vizuri akili zako kama kiongozi mahali ambapo Mungu amekuweka na kukupatia nafasi hiyo ya kuwaongoza wengine ili wasiulaumu uongozi wako. Pia mke ni kiongozi na mume nae ni kiongozi ndani ya familia yao hivyo akili za mmojawapo zikifungwa utamuona atashindwa kutimiza wajibu wake kama kiongozi wa familia na kusababisha migogoro na matatizo ndani ya familia yake.


JAMBO LA SABA:

( 7 ) Akili zako zinashambuliwa ili usiweze kuzitumia kujiwekea akiba ya maisha yako ya kesho.  

Mithali 30:24

🔵 Mungu ametupatia akili na anatutaka tuzitumie akili zetu ili kujiwekea akiba ya maisha yetu ya kesho katika vile anavyotujalia kuvipata tusiweze kuvitumia vyote bali akili ituongoze kuweka sehemu ya akiba ya kesho.                Unatakiwa utumie akili zako vizuri kujiwekea akiba kidogo kidogo kwaajili ya maisha yako ya baadae naya watoto wako, usile kila kitu unachopata bila kuweka kidogo akiba. 

🔶 Nimekuonyesha mambo hayo machache ili uone kwanini akili zako zinashambuliwa rohoni kupitia kwenye nafsi yako? Hivyo hakikisha kwamba unaingia kwenye maombi kuombea nafsi na akili zako wewe pamoja na kuwaombea watoto wako, wazazi wako, ndugu zako, mke&mume wake kwenye maeneo ya akili zao ndani ya nafsi ili akili zao ziweze kuwa huru hapo ndipo watazitumia ipasavyo katika maisha yao ya kila siku hapa duniani.

✔️ Kwa leo semina yetu inaishia hapa tukutane siku ya kesho, nakuomba unisaidie kuwashirikisha wengine masomo haya ili wapokee msaada wa Mungu kupitia semina hii kwaajili ya maisha yao.


Kwa mawasiliano nami utanipata kwa namba hizi, pia zitumie kutoa sadaka yako kwa Mungu kwaajili ya semina hii.

Vodacom M-PESA +255 765 867574 ( WhatsApp ).

Airtel Money +255 785 855785

Tigo Pesa +255 673 784197

Kwa Email address ni Pastorkibiriti@gmail.com



Mimi ni Mwalimu wa Neno la Mungu la Maarifa

             Samwel Kibiriti.

Mei 25, 2021

Mbeya Tanzania.

@Kibiriti2021

Kumbuka Bwana Yesu Kristo anarudi hakikisha kwamba umeyaandaa maisha yako kwa kuokoka na kuishi maisha matakatifu hapa duniani huku ukiendelea kuyafanya mapenzi yake Mungu kila siku.

Wednesday, June 16, 2021

6:12 AM

 30-day seminar ( Christ For All People Church- Mbeya ).

DEALING WITH SPIRITUAL GATES THAT AFFECT YOUR DAILY LIFE SYSTEM .

         Day 10 of the seminar.

Senior Pastor Samwel Kibiriti.

May the Lord Jesus Christ be glorified the Son of God and we will continue with today's seminar.

DEALING WITH YOUR OWN GATE ( A ) .

Psalm 25:20 Exodus 32: 7 Deuteronomy 4:16 Numbers 11:18 Psalm 7: 5 Numbers 31:50

After teaching you about fighting for the gate of the country where you live and giving birth at the altars of the countries that closed your life, today I want us to begin this lesson of the gate of your soul where we will learn for 3 days about this gate, and God will speak to you and open your soul. There are so many people who do not know how their souls work spiritually and also this gate of the soul for many people is gripped by the forces of darkness which is why their souls suffer and are greatly served every day in their sleep and in dreams without getting help to set them free.


THE CAUSE OF WAR IN YOUR SOUL .

May I today explain to you the causes of the war in your soul and in the souls of your children and your parents and siblings. There is a great war directed at the souls of men and this war has caused many souls not to function as they were created by God in human life. And many do not know why they are experiencing so much warfare every day in their souls, I as a teacher of God's Word of Knowledge ask you to explain those biblical reasons that cause you to be at war with your soul every day.


                FIRST REASON :

( 1 ) It is the soul that can interpret the Voice of the Spirit and the voice of your body to understand each other

Galatians 5: 16-25

🔵 God created the spirit and space and your body and in the functioning of these 3 areas is that within your spirit there is a voice and in your body there is a voice so the bible says that the soul and body do not understand and your soul is responsible for God interpreting the voice of The spirit and the body must be united so that you can do God's will in your life. When your soul is closed spiritually it will fail to interpret the voice of the spirit and the body and thus fail to understand and find itself living a life of doing it and fulfilling God's will on earth every day.

❌Does your soul properly interpret the voice of your spirit and body and understand each other in doing the will of God? Make sure you make a prayer to open your soul to a closed place so that it can be free and you can do God's will in your life, and ask God to restore His power in your soul.


                      SECOND REASON :

( 2 ) It is the soul that carries your life that you live on this earth

Job 10: 1

The life you are living today whether good or bad is the source of your soul and not your spirit or your body because when God created your soul it is your responsibility to guide your life here on earth. So in simple language we say that the way you live today is the result of what your soul is like and how it works in the spirit. You cannot have the life you desire if your soul is closed you will only be talking about that life without living it in reality here on earth so it is important to know that your soul is free or closed so that you can pray for it before God.

❌Is the life you are living now the same as God intended you to have? The answer is no, there is a very good life when God created you and prepared and planned for you, but because your soul is closed you have found yourself not living that life. Make sure you get the spiritual help to open your soul so that you can return to your God-given real life, and ask God to restore your real life so that you can live it on earth for the time He will keep you alive.


                       THIRD REASON :

( 3 ) It is the soul that quenches your thirst for God in your life

Psalm 42: 2 John 7:37 Psalm 143: 6 Jeremiah 29:13

Many Christians in them are not at all thirsty to seek God and to seek the face of God because that thirst has been removed from their souls and that is why you find them just ordinary Christians in the churches. I want you to understand that God put something called thirst in the soul and that thirst that He has set is not for seeking to do anything. nor any other creature so when you put forth a great effort to seek God He promised that He would appear to you.

❌Is there a thirst in your soul to seek God every day? Make sure you go into prayer and open your soul and ask God to restore your thirst for you to seek Him more than you seek money because if you find God you have found everything in your life.


                        FOURTH REASON :

( 4 ) The soul is responsible for the success of your life

Psalm 25:13 3 John 1: 2

The success of your life is not in your spirit nor in your body or in your work here on earth but your success is carried within the soul, so your soul is the one that determines the levels of success in life on earth. Anyone whose soul is locked up cannot succeed in life no matter how hard he tries to do this work, many are unaware of it. 

❌The success of your life has been placed by God in your soul so make sure you pray hard for yourself and open it so that you can live a successful life here on earth in harmony with God's purpose for creating you.


                   FIFTH REASON :

( 5 ) The soul is the Engine of working for man on earth

Proverbs 16:26 Psalm 104: 23 Ecclesiastes 3:13

The human engine of manual labor is not the body but the soul and many do not understand this which is why many people you find working with their bodies while their souls are spiritually bound and find themselves really trying to work but their lives do not change completely every day . Your soul is the working engine to succeed in your work so when the engine closes nothing will move you. 

The soul is the one that has to work with the body to do manual labor together but not so many the body is the one that works without working with the soul that is why they do not succeed or get the results they intended to get through their handiwork. To work hard for your body while your soul is being held captive spiritually is to tire yourself out for nothing in your life. they have been captured and stolen and captured by the enemy.

❌Does your soul work in full harmony with your body or do you use the body alone to work while your soul is in captivity? Enter into the powerful prayer of opening your soul to its daily function in your life.


               REASON SIX :

( 6 ) It is the soul that carries the Mind and the mind and the thoughts

Mind and thoughts and thoughts God put in the soul so if your soul is trapped by the devil in the spirit you know your mind and your thoughts and your thoughts will also be constrained, also if your soul is kidnapped in the spirit know also your mind is captured and your mind is captured by your thoughts they will be captured and thus unable to be used properly as God created them and placed them in you for your life here on earth.

The one who holds your soul in the spirit world is the one who will cling to your soul and guide it whatever he wants and you will find yourself unable to do what you are supposed to do but do things that even you and those around you wonder just because your soul is misled by God's will.

🔵 I have been able to show you the spiritual reasons why your soul is at war is because of the things it carries for your daily life here on earth, so enter into prayer and pray fervently for your soul to be opened and revived by God. This war of your soul if you do not receive great spiritual help you will find yourself living a life of suffering and suffering only on earth and that is not the plan of God who created you and brought you here on earth. The great problems of people's lives are in their own souls because they are not in the right place at the right time.

✔️ Today our seminar ends here let's meet tomorrow where I will talk to you about the area of ​​mind in your soul. Please help me to share these lessons with other people so that they may receive the knowledge to deliver them from the suffering they go through in life.


Contact me at the following numbers:

Vodacom +255 765 867574 ( WhatsApp ).

Airtel +255 785 855785

Tigo +255 673 784197

By Email address is Pastorkibiriti@gmail.com




I am a Teacher of God's Word of Knowledge

          Samuel Kibiriti.

May 24, 2021

@ Kibiriti2021

Remember the Lord Jesus is coming back to make sure you are saved and living a holy life while doing God's will for your life.

5:44 AM

 Semina ya siku 30 ( Christ For All People Church- Mbeya ).

KUYASHUGHULIKIA MALANGO YA KIROHO YANAYOGUSA MFUMO WAKO WA MAISHA YA KILA SIKU.

         Day 10 ya semina.

Senior Pastor Samwel Kibiriti.

Bwana Yesu Kristo atukuzwe mwana wa Mungu karibu tuendelee na semina ya siku ya leo.

KUSHUGHULIKIA LANGO LA NAFSI YAKO ( A ).

Zaburi 25:20 Kutoka 32:7 Kumbukumbu 4:16 Hesabu 11:18 Zaburi 7:5  Hesabu 31:50

Baada ya kumaliza kukufundisha kuhusu kupambana na lango la nchi unayoishi na kujifungua kwenye madhabahu za nchi zilizofunga maisha yako, leo nataka tuanze somo hili la lango la Nafsi yako ambapo tutajifunza kwa siku 3 kuhusua lango hili, na Mungu atasema nawe na kuifungua nafsi yako. Wako aatu wengi sana hawajui jinsi nafsi zao zinazofanya kazi kiroho na pia lango hili la nafsi kwa watu wengi limeshikiliwa na nguvu za giza ndio maana nafsi zao zinateseka na kutumikishwa sana kila siku wakiwa katika usingizi na kwenye ndoto bila kupata msaada wa kuwaweka huru.


SABABU YA VITA KATIKA NAFSI YAKO.

Naomba leo nikueleze sababu za vita katika nafsi yako na katika nafsi za watoto wako na wazazi wako na ndugu zako. Kuna vita kubwa sana iliyoelekezwa kwenye nafsi za wanadamu na hii vita imesababisha nafsi nyingi kutokufanya kazi kama vile zilivyoumbwa na Mungu kwenye maisha ya watu. Na wengi hawajui kwanini wanakutana na vita sana kila siku katika nafsi zao, mimi kama mwalimu wa Neno la Mungu la Maarifa naomba nikueleze hizo sababu kibiblia zinazosababisha uko kwenye vita ya nafsi yako kila siku.


                SABABU YA KWANZA:

( 1 ) Nafsi ndio inayoweza kutafsiri Sauti ya roho na sauti ya mwili wako ili vielewane

Wagalatia 5:16-25

🔵 Mungu aliumba roho na nafasi na mwili wako na katika utendaji kazi wa maeneo haya 3 ni kwamba ndani ya roho yako kuna sauti na katika mwili wako kuna sauti hivyo biblia inasema kwamba roho na mwili hazielewani na nafsi yako ndio iliyobebeshwa jukumu na Mungu kutafsiri sauti ya roho na mwili vielewane ili uweze kuyafanya mapenzi ya Mungu katika maisha yako. Nafsi yako inapofungwa kiroho itashindwa kutafsiri sauti ya roho na mwili na hivyo kushindwa kuelewana na kujikuta huishi maisha ya kuyafanya na kuyatimiza mapenzi ya Mungu hapa duniani kila siku.

❌Je nafsi yako inatafsiri sawasawa sauti ya roho na mwili wako na kuelewana katika kuyafanya mapenzi ya Mungu? Hakikisha unafanya maombi ya kuifungua nafsi yako mahali ilipofungwa ili iweze kuwa huru na wewe uweze kuyafanya mapenzi ya Mungu kwenye maisha yako, pia omba Mungu aurejeshe ule uweza wake katika nafsi yako.


                SABABU YA PILI:

( 2 ) Nafsi ndio iliyobeba Maisha yako unayoishi hapa duniani

Ayubu 10:1

Maisha yako unayoishi leo hii yawe mazuri au mabaya chanzo ni nafsi yako wala sio roho yako wala mwili wako kwasababu Mungu alipoiumba nafsi yako ndio aliyoibebesha jukumu la kuongoza maisha yako hapa duniani.  Kwahiyo kwa lugha rahisi tunasema kwamba unavyoishi leo ni matokeo ya nafsi yako ilivyo na inavyofanya kazi rohoni. Huwezi kuwa na maisha unayoyatamani kama nafsi yako imefungwa utakuwa unayasimulia tu hayo maisha pasipo kuyaishi kwa uhalisia hapa duniani hivyo ni jambo la msingi kujua kwamba nafsi yako iko huru au imefungwa ili uweze kuiombea mbele za Mungu.

❌Je maisha unayoyaishi sasa ndivyo Mungu alivyokupangia uwe nayo? Jibu ni hapana kuna maisha mazuri sana wakati Mungu alipokuumba alikuandalia na kukupangia ila kwasababu nafsi yako imefungwa umejikuta huyaishi hayo maisha. Hakikisha unapata msaada wa kiroho kufunguliwa kwa nafsi yako ili uweze kurudi katika maisha yako halisi uliyokusudiwa na Mungu, na muombe Mungu ayarejeshe maisha yako halisi ili uweze kuyaishi hapa duniani kwa kipindi atakachokuweka kuishi.


                       SABABU YA TATU:

( 3 ) Nafsi ndio iliyobeba kiu ya wewe kumtafuta Mungu kwenye maisha yako

Zaburi 42:2 Yohana 7:37 Zaburi 143:6 Yeremia 29:13

Wakristo wengi ndani yao hawana kiu kabisa ya kumtafuta Mungu na kuutafuta uso wa Mungu kwasababu ile kiu imeshaondolewa ndani ya nafsi zao ndio maana unawakuta ni wakristo wa mazoea tu makanisani. Nataka ufahamu kwamba Mungu aliweka kitu kinachoitwa kiu/shauku ndani ya nafsi na kiu hiyo aliyoiweka sio ya kutafuta kufanya kitu chochote kile hapana ameiweka hiyo kiu ili moyo wako umtafute sana Mungu kila siku ya maisha, kwasababu mwenye kuyajua maisha yako ni Mungu pekee wala sio mwanadamu wala kiumbe yoyote yule hivyo unapoweka jitihada kubwa ya kumtafuta Mungu aliahidi kwamba ataonekana kwako.

❌Je ndani ya nafsi yako kuna kiu ya kumtafuta Mungu kila siku? Hakikisha unaingia katika maombi na kuifungua nafsi yako na kumuomba Mungu akurejeshee kiu yake ya wewe kumtafuta yeye zaidi ya unavyotafuta pesa kwani ukimpata Mungu umepata kila kitu katika maisha yako.


                        SABABU YA NNE:

( 4 ) Nafsi ndio iliyobeba Mafanikio ya maisha yako

Zaburi 25:13  3Yohana 1:2

Mafanikio ya maisha yako hayako kwenye roho yako wala hayapo kwenye mwili wako au kwenye utendaji kazi wako sana hapa duniani bali mafanikio yako yamebebwa ndani ya nafsi, kwahiyo nafsi yako ndio inayokuamulia viwango vya kufanikiwa kimaisha hapa duniani. Mtu yoyote ambaye nafsi yake imefungwa hawezi kufanikiwa kimaisha hata kama atajitahidi vipi kufanya kazi hili wengi hawalifahamu. 

❌Mafanikio ya maisha yako yamewekwa na Mungu katika nafsi yako hivyo hakikisha unaombea sana nafsi yako na kuifungua ili uweze kuishi maisha ya mafanikio hapa duniani sawasawa na kusudi la Mungu la kukuumba.


                    SABABU YA TANO:

( 5 ) Nafsi ndio Injini ya kufanya kazi kwa mtu hapa duniani

Mithali 16:26  Zaburi 104:23  Mhubiri 3:13

Injini ya mwanadamu ya kufanya kazi za mikono sio mwili bali ni nafsi yake  na wengi hawafahamu hili ndio maana watu wengi unawakuta wanafanya kazi za mikono kwa kutumia miili yao wakati huo nafsi zao zimefungwa rohoni na kujikuta wanajitahidi kweli kufanya kazi lakini maisha yao hayabadiliki kabisa kila siku. Nafsi yako ndio injini ya kufanya kazi ili kufanikiwa kwenye kazi zako kwahiyo injini inapofungwa hakuna kitu kitasogea kwako. 

Nafsi ndio inayotakiwa ishirikiane na mwili kufanya kazi za mikono kwa pamoja lakini sivyo ilivyo wengi sana mwili ndio unaofanya kazi bila kushirikiana na nafsi ndio maana hawafanikiwi wala kupata matokeo yale waliyokusudiwa kuyapata kupitia kazi zao za mikono. Kufanya kazi kubwa kwa mwili wako huku nafsi yako ikiwa imechukuliwa mateka kiroho ni kujichosha bure bila faida yoyote katika maisha yako ndio leo unakutana na watu wengi wanaolalamika kuteseka na kuchoka kupitia kazi wanazozifanya bila kufanikiwa na kustawi wao wakidhania tatizo ni kazi kumbe tatizo lipo kiroho nafsi zao zimeshafungwa na kuibiwa na kutekwa na maadui.

❌Je nafsi yako inafanya kazi kwa kushirikiana na mwili wako kwa ukamilifu au unatumia mwili peke yake kufanya kazi huku nafsi yako ikiwa kifungoni? Ingia kwenye maombi ya nguvu ya kuifungua nafsi yako katika utendaji kazi wake wa kila siku kwenye maisha yako.


               SABABU YA SITA:

( 6 ) Nafsi ndio iliyobeba Akili na mawazo na fikira

Akili na mawazo na fikira Mungu aliziweka ndani ya nafsi kwahiyo nafsi yako ikibanwa na shetani rohoni ujue akili zako na mawazo yako na fikira zako nazo pia zitakuwa zimebanwa, pia nafsi yako ikitekwa nyara rohoni ujue pia na akili zako zimetekwa na mawazo yako yametekwa na fikira zako  zitakuwa zimetekwa na hivyo kushindwa kutumika sawasawa kama Mungu alivyoviumba na kuziweka ndani yako kwaajili ya maisha yako hapa duniani.

 Aliyeshikilia nafsi yako kwenye ulimwengu wa kiroho ndiye huyo atakayeibana nafsi yako na kuiongoza vyovyote atakavyo yeye na kujikuta huwezi kufanya yale unayotakiwa kuyafanya bali unafanya vitu ambavyo hata wewe na wanaokuzunguka wanashangaa tu kwasababu nafsi yako inaongozwa vibaya tofauti na mapenzi ya Mungu.

🔶 Nimeweza kukuonyesha sababu za kiroho kwanini nafsi yako inakutana na vita ni kwasababu ya vitu ilivyovibeba kwaajili ya maisha yako ya kila siku hapa duniani, hivyo ingia katika maombi na kuiombea kwa nguvu nafsi yako hadi ifunguliwe na kuhuishwa na Mungu. Hii vita ya nafsi yako kama hutapata msaada mkubwa wa kiroho utajikuta na maisha ya kuteseka na kuhangaika tu hapa duniani na hilo sio mpango wa Mungu aliyekuumba na kukuleta hapa duniani. Matatizo makubwa ya maisha ya watu waliyonayo yako kwenye nafsi zao kwasababu haziko sawasawa kiroho kabisa kwenye utendajo kazi.


✔️ Kwa leo semina yetu inaishia hapa tukutane siku ya kesho ambapo nitasema nawe kuhusiana na eneo la akili katika nafsi yako. Nakuomba unisaidie kuwashirikisha watu wengine masomo haya ili wapokee maarifa ya kuwatoa katika mateso wanayopitia kimaisha.

Kwa mawasiliano nami utanipata kwa namba hizi:

Vodacom +255 765 867574 ( WhatsApp ).

Airtel +255 785 855785

Tigo +255 673 784197

Kwa Email address ni Pastorkibiriti@gmail.com



Mimi ni Mwalimu wa Neno la Mungu la Maarifa

          Samwel Kibiriti.

Mei 24, 2021

@Kibiriti2021

Kumbuka Bwana Yesu anarudi hakikisha kwamba umeokoka na kuishi maisha ya utakatifu huku ukiyafanya mapenzi ya Mungu kwenye maisha yako.

Featured Post

JINSI MISINGI YA VIZAZI INAVYOWEZA KUKAMATA MAISHA YAKO.

Fahamu kwamba misingi ni chanzo au asili au chimbuko la mtu. Na msingi wako wa vizazi unatokana na ukoo wako na kabila lako.      ...