Post Top Ad

Post Top Ad

Thursday, July 27, 2017

SEMINA YA NENO LA MUNGU.

KARIBU SANA KATIKA SEMINA HAPA BOMA, HAI, KILIMANJARO.



Bwana Yesu asifiwe sana mwana wa Mungu,

ninayo semina ya siku nane { 8 } hapa katika mji wa bomang'ombe, wilaya ya Hai mkoa wa Kilimanjaro, katika nchi ya Tanzania, kuanzia tarehe 23 hadi 30/07/2017.

Semina hii ninairusha moja kwa moja Live kila siku kuanzia saa 11 jioni katika ukurasa wangu wa Facebook ambao ni   "Samwel Kibiritiministry".

Ungana nasi kwa njia ya maombi yako kuombea semina hii.

Somo la Semina ambalo Mungu alinipatia linakichwa kinachosema  "KWANINI MTU ALIYEOKOKA ANAHITAJI KUFUNGULIWA?". hili ni somo la msingi sana kwa kila mtu aliyeokoka kulifahamu.

Mungu Baba ayahifadhi maisha yako naya uzao wako milele.

                        Mwalimu wa Semina 
                             Samwel Kibiriti.

No comments:

Post a Comment

Featured Post

JINSI MISINGI YA VIZAZI INAVYOWEZA KUKAMATA MAISHA YAKO.

Fahamu kwamba misingi ni chanzo au asili au chimbuko la mtu. Na msingi wako wa vizazi unatokana na ukoo wako na kabila lako.      ...